Saturday 24 December 2016

WASICHANA 21 wa Chibok Waachiliwa Huru.Fahamu zaidi hapa.

Wasichana 21 kati ya wasichana 276 waliotekwa nyara na Boko Haram walipovamia shule mnamo 2014 .
Wasichana 21 wa Chibok waachiliwa huru
Msemaji mkuu wa rais Garba Shehu alifahamisha kwa taarifa kuwa wasichana 21 wameachiliwa huru.
Aidha taarifa pia zafahamisha kuwa watu wasiopungua 2000 wameokolewa kutoka wilaya ya Borno nchini Nigeria .
Hata hivyo wasichana walio chini ya Boko Haram bado haijulikani walipo .

Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment