Saturday 31 December 2016

WACHINA WAKIWA KWENYE UBORA WAO, PEPE NAYE AFIKIRIA KWENDA ZAKE CHINA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Unaweza kusema Wachina wameleta mambo, maana beki wa kati wa Real Madrid, Pepe naye anafikiria kwenda China.

Hii ni sikh chache baada ya Carlos Tevez kukamilisha usajili wa kwenda China na atakuwa akipokea euro million 30 kila msimu.

Taarifa zinaeleza, Pepe anafikiria kwenda China na kujiunga na moja ya timu zinazoshiriki Super League.

Wachina wanaonekana kuanza kuwachanganya wachezaji mbalimbali kupitia fedha zao.


Klabu za China zimekuwa zikiwalenga wachezaji mbalimbali maarufu kutoka barani Ulaya wakiwemo wale wazaliwa wa Amerika Kusini ambao wanacheza barani Ulaya.

Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment