Friday 23 December 2016

Mpigapicha maarufu Mpoki Bukuku afariki dunia.Fahamu zaidi hapa.

Mpiga picha maarufu Mpoki Bukuku amefariki dunia leo katika Taasisi ya Mifupa (MOI), alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Taarifa zinasema Mpoki amefariki dunia mchana huu na alipokelewa jana usiku baada ya kupata ajali ya gari maeneo la Mwenge ITV.

Mpoki Bukuku amewahi kufanya kazi kama Mpiga Picha Mkuu katika gazeti la Mwananchi pia amewahi kufanya kazi magazeti kadhaa likiwemo Majira na Nipashe.


Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment