Muimbaji wa Aje, Alikiba ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo za MTV MAMA huko Johannesburg, Afrika Kusini.
Pia MTV Base wameandika: Yes,@OfficialAliKiba to bring that HEAT to the stage



Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Jumamosi ya Oktoba 22, mwaka huu. Wasanii wengine wanaotarajia kutumbuiza kwenye tuzo hizo ni pamoja na Yemi Alade, Nasty C, Babes Wodumo na wengine wengi. Kwa mwaka huu tuzo hizo zina vipengele 18 ambavyo wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika watawania.
0 comments:
Post a Comment