CEO wa EFM, Majay amepokea mabusu yakutosha kutoka kwa mpenzi wake Elizabeth Micheal ‘Lulu’ katika tafrija ya sherehe ya siku yake ya kuzaliwa. Malkia huyo wa filamu Ijumaa hii alimwandikia ujumbe mzuri wa kumtakia heri ya mafanikio huku ndani kukiwa na ujumbe ‘I think sisi ni perfect combo’. Video:
Saturday, 10 September 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>MREMBO Lulu Michael Amwagia Mabusu Hadharani Majay.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>>MREMBO Lulu Michael Amwagia Mabusu Hadharani Majay.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Hamisa Mobetto Hana Tatizo na Uhusiano wa Majay na Lulu, Soma Ujumbe Aliowaandikia.Fahamu zaidi hapa. Hakuna tena bifu kati ya Lulu na Hamisa Mobetto – angalau kwa kile Hamisa amekiandika kumpongeza mzazi mwenzake. Hamisa amezaa na CEO huyo wa EFM mwenye uhusiano na Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kuna wakati warembo hao wali… Read More
#BURUDANI>>>KR Mulla:Nipo Tayari Kurudi TMK Wanaume Family.Fahamu zaidi hapa. KR Muller amesema kama angetaka kurudi TMK Wanaume Family kwa Juma Nature angekuwa amerudi kwa kuwa hakuna aliyemfukuza. Rapper huyo ambaye kwa sasa yupo ‘Rada Entertainment’ kwa TID, ameiambia Bongo5 kuwa bado anafurahi… Read More
#BURUDANI>>>VIDEO: Mama Wema Aeleza Beef yake na Man Fongo Kisa.Fahamu zaidi hapa. NI Mama Wema Sepetu ambae ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa nyimbo za singeli, Man Fongo. Sasa hapa tumefanikiwa kuipata video ikionesha Mama Wema akieleza tofauti yake na msanii huyo na… Read More
#BURUDANI>>>Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi.Fahamu zaidi hapa. Kipindi cha Nyuma Linah sanga aliingia Bifu zito baada ya Kuibiwa Bwana na Wema Sepetu ambapo alilalamika sana kwenye vyombo vya habari hasa Radioni... Hivi karibuni Linah na Mpenzi wa Wema Sepetu Idriss Sultan wan… Read More
#BURUDANI>>>>Alikiba Aelezea ‘King Kiba’ ilikotokea, Adai si Mtu wa Maringo.Fahamu zaidi hapa. Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi. Akiongea kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kilichoruka Alhamis hii kupitia EATV, Kiba alisema ni mashabiki ndio waliombatiza. “Wa… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment