Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Ruby amjibu Diva baada ya kudai kuwa hamfahamu.Fahamu zaidi hapa.
Muimbaji wa ‘Na Yule’ Ruby amefunguka baada ya mtangazaji wa kipindi cha
Ala za Roho cha Clouds FM, Diva kudai kuwa hamfahamu msanii huyo.
Ruby ameiambia Bongo5 kuwa kauli aliyoitoa mtangazaji huyo anaiona ni
kama utoto. “Naona ni ujinga, I don’t want to talk about it, naona ni
utoto sidhani kama ninaweza kuliongelea hilo.”
“Everybody knows me, so nahisi huo ni utoto tu labda wa kukosa majibu
kwenye maswali ya interview aliyohojiwa. I don’t to talk about her,”
ameongeza.
Pia Ruby amedai kuwa licha ya kuzinguana na uongozi wa THT, bado mambo yanaenda mswano.
“Kutokuwa na mawasiliano mazuri na uongozi wangu wa zamani sijaathirika
kwakweli, sitaki kuliongelea hilo kwa sababu mimi naona kwangu ni kitu
ambacho kimeshapita nataka niongelee vitu ambavyo vinaendelea mbele.
Sidhani kama nina tofauti na wao mimi sijui ila, I don’t talk about
them, at all.”
Inawezekana Diva alitoa kauli hiyo kutokana na Ruby kutokuwa na
mawasiliano mazuri na Clouds Media baada ya kushindwa kuhudhuria kwenye
tamasha la Fiesta lililofanyika Mwanza, August 20 ya mwaka huu.
Related Posts:
HARMONIZE Ataja Mkwanja Anaoingiza Youtube kwa Mwezi.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva kutoka lebo ya WCB, Harmonize ameweka
wazi kiasi cha pesa anachoingiza kupitia mtandao wa Youtube kwa Mwezi .
Harmonize amesema watu wanashangaa kuona anatembelea magari ya kifahar… Read More
VANESSA Mdee Alalamika Kuchafuliwa na Afande Sele.
Muda mfupi baada ya msanii wa kitambo kwenye muziki wa kizazi kipya
Bongo, Afande Sele kusikika kwenye kituo kimoja cha redio akitoa maneno
ya kuudhi kwa wasanii Vanessa Mdee ‘Vee Money’ na Man Fongo, mwanadada
huyo ames… Read More
Wasanii waguswa na vifo vya watu 32, Arusha.Huzuni umetanda, Wilayani Karatu Arusha na Tanzania nzima baada ya
kutokea ajali mbaya ya basi iliyosababisha vifo vya wanafunzi 32 wa
darasa la saba, walimu 2 na dereva wagari la shule ya msingi iitwayo
Lucky Vicent ya Ar… Read More
Penzi la Harmonize na Wolper kwishaaa.
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize Alhamisi hii amethibitisha kuwachana na malkia wa filamu, Jacqueline Wolper.
Huwenda wawili hao wamezingua siku za karibuni, kwani Machi 16 mwaka huu
Harmonize aliachia project yake … Read More
‘Wapo' ni baba lao katika nyimbo zangu zote - Nay wa Mitego.Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego amedai wimbo wake ‘Wapo’ ni
wimbo ambao umefanya vizuri kwa muda mchache kuliko nyimbo zake zote
alizowahi kuziachia katika maisha yake ya muziki.
Rapa Nay wa Mitego akiwa kweny… Read More
0 comments:
Post a Comment