Mabao
yote yalifungwa kipindi cha kwanza, wafungaji kwa upande wa Man City ni
De Bruyne aliyetupia dakika ya 15 kisha Iheanacho akaongeza la pili
dakika ya 36, bao pekee la wenyeji Man United liliwekwa kimiani na
Zlatan Ibrahimovic dakika ya 42.
Tambwe, Mavugo kuwageuzia kibao watanzania.Fahamu zaidi hapa.
PM Kassim Majaliwa apokea taarifa ya Tume aliyounda kuchunguza kifo
cha Faru John kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele.
Taifa Stars ya Tanzania kesho Machi 28, 2017 saa 10:00 jioni inaingia
tena Uwanj…Read More
PICHA YA KUANZIA SIKU HII HAPA; AJIBU AKIWATESA WARUNDI WATATU.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Ibrahim
Ajibu akiwatoka walinzi wa timu ya taifa ya Burundi katika mechi ya
kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.
Ajibu ni mmoja wa wachezaji vijana wa Tanzania weny…Read More
0 comments:
Post a Comment