Saturday, 10 September 2016
USIMWAMBIE HAYA MWANDANI WAKO MUWAPO FARAGHANI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mapenzi hayana chuo kwamba utakwenda
kusomea kwa kipindi fulani kisha uhitimu na kutunukiwa cheti lah hasha!
Mapenzi ni utundu ambao kila mmoja akiamua kujifunza toka kwa mwenzie
ataweza kukata kiu ya mwandani wake. Tangu kuumbwa kwa dunia haijapata
kusikika eti mtu kafundishwa namna ya kukata kiu ya mkewe kitandani bali
wengi hufundishwa namna ya kuishi ili muweze kwenda sawa.
Related Posts:
Msichana Wangu Kanipa Kisonono, Nimuache au Niendelee Naye? Nina msichana wangu nimedumu naye miezi miwili sasa. Ni mzuri balaa na kwa muonekano wa nje anaonekana ni binti anayejisheshimu haswa, nilipata shida sana mpaka kumpata. Lakini cha ajabu ndo amenipa kisonono. Nimepata has… Read More
Sababu 20 Kubwa Ambazo Zinakufanya wewe Mwanaume Usipate Mpenzi. Tangu ujielewe umekuwa single. Huna girl friend ama mpenzi yeyote yule. Kuna yule mwanamke jirani yako kila siku unamwona. Unamtamani lakini hutaki kumuapproach. Kiufupi unaishi kiupweke ilhali marafiki zako kila wakati … Read More
Mbinu Tata Za Kumfanya Mwanamke Ajigonge Kwako Kirahisi. #1 Mfanye mwanamke ajieleze kwako Unaweza kumuuliza swali kama “Ni kitu gani ambacho kinakufanya unique/tofauti na wengine?” Ama kumwambia, “Wewe unakaa mdogo sana kiumri kwangu. Ni kitu gani ambacho uko nacho ambacho kitaz… Read More
Mke Wangu Anavaa Vikuku Miguu Yote Miwili je Nini Maana Yake? Mimi ni kijana wa miaka 28 ninampenda mke wangu lakini kuna baadhi ya tabia zimekuwa changamoto kubwa kwangu ambazo zinapelekea baadhi ya ndugu zangu na marafiki zangu kutompenda mke wangu. Mke wangu anapenda kuvaa vikuk… Read More
ANAOMBA Ushauri..'Kila Akifika Kileleni Ananing'ata Shingoni. Nautandika uzi wangu huu hapa kuomba ushauri nifanyaje au dawa yake ni nini katika tatizo hili linalonisibu! Nina mpenzi wangu niko kwenye mahusiano mwezi wa tisa sasa hivi,tatizo ni pale tunapokuwa ndani ya sita kwa sita… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment