Saturday, 10 September 2016
USIMWAMBIE HAYA MWANDANI WAKO MUWAPO FARAGHANI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mapenzi hayana chuo kwamba utakwenda
kusomea kwa kipindi fulani kisha uhitimu na kutunukiwa cheti lah hasha!
Mapenzi ni utundu ambao kila mmoja akiamua kujifunza toka kwa mwenzie
ataweza kukata kiu ya mwandani wake. Tangu kuumbwa kwa dunia haijapata
kusikika eti mtu kafundishwa namna ya kukata kiu ya mkewe kitandani bali
wengi hufundishwa namna ya kuishi ili muweze kwenda sawa.
Related Posts:
Jinsi ya Kumpata Mpenzi Mwenye Mapenzi ya Kweli.Fahamu zaidi hapa. Habari za jumapili wapendwa, bila shaka sote tu wazima wa afya na wale ambao afya zao zina mushkeli Mungu awatie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu. Kila mmoja wetu anatamani au kupenda kuwa katika mahusiano y… Read More
Unataka kufurahia tendo la ndoa na mpenzi wako? Zingatia haya 8.Fahamu zaidi hapa. Ni jambo rahisi sana kushiriki tendo la ndoa na mpenzi wako, lakini cha kushangaza ni kwamba, ni wapenzi wachache sana wanaofanikiwa kufurahia kila hatua ya tendo. Na ndio maana wapenzi wengi hupoteza hamu ya tendo la ndoa… Read More
USIMWAMBIE HAYA MWANDANI WAKO MUWAPO FARAGHANI.FAHAMU ZAIDI HAPA. Mapenzi hayana chuo kwamba utakwenda kusomea kwa kipindi fulani kisha uhitimu na kutunukiwa cheti lah hasha! Mapenzi ni utundu ambao kila mmoja akiamua kujifunza toka kwa mwenzie ataweza kukata kiu ya mwandani wake. Tan… Read More
Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hupenda Kusikia Toka Kwa Mpenzi Wake.Fahamu zaidi hapa. 10. Kukosolewa – “I think you are wrong” Wanaume wanaweza kujikweza sana lakini daima hawachukii kurekebishwa. Wanachojali zaidi ni jinsi gani au njia gani imetumika kuwarekebisha. Mwanaume akikosea, anataka mpenzi wake … Read More
KINACHOPELEKEA KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI.FAHAMU ZAIDI HAPA. Hali hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au Glandi hizi ni korodani kwa mwanaume na ovari kwa mwanamke. Tatizo hili lina… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment