#Breaking NEWS>>>CUF Wamaliza Mgogoro Wao.
DAR: Chama cha Wananchi (CUF) kimesema mgogoro ndani ya chama hicho
kuhusu wafuasi wa Prof. Lipumba na wa Maalim Seif sasa umekwisha, kazi
iliyobaki ni kukijenga chama.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kw…Read More
Sherehe ya Kula Nyama ya Mbwa Yafanyika China.
Sherehe
ya kula nyama ya mbwa iliogubikwa na utata katika mji wa Yullin nchini
China imeanza licha ya ripoti za awali kwamba ilikuwa imepigwa marufuku
mwaka huu.
Sherehe hiyo hufanyika kila mwaka katika mkoa wa Guang…Read More
Meya Ubungo Aendelea Kusota Selo, Wengine Wawili Wapata Dhamana.
Wakati viongozi wawili kati ya watatu wa Chadema waliokuwa wakishikiliwa
polisi wakipata dhamana, mmoja anaendelea kushikiliwa kutokana na agizo
la mkuu wa wilaya.
Katibu wa Chadema Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo am…Read More
0 comments:
Post a Comment