Home »
Habari Moto
» UPDATES: Tundu Lissu Asafirishwa Kuelekea Dar es Salaam Akidaiwa Kuruka Masharti ya Dhamana.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge
Tundu Lissu(CHADEMA) amekamatwa na Polisi asubuhi ya leo nyumbani kwake
Dodoma na kupelekwa Ofisi ya Kamanda wa Polisi na sasa anasafirishwa
kwenda Dar es Salaam kwa madai ya kukiuka masharti ya dhamana.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
VIDEO: Godbless Lema Kampa Ujumbe Mzito Wema Sepetu.....Kasema Akiamua Anaweza Kuwa hata Rais.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge
wa Arusha Mjini, Godbless Lema wikendi iliyopita alitumia muda wake
kufanya mazungumzo na kada mpya wa chama hicho, Wema Sepetu ikiwa ni
siku mbili tangu aachiwe kwa dhamana baada ya kukaa gerezani kwa
takribani… Read More
Rais Magufuli Atengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha.Fahamu zaidi hapa.
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua
uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha Dkt. Crispin Mpemba
ili kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma za kiutendaji zinazomkabili
ikiwemo… Read More
Lema - Nilipokuwa Gerezani Nilimuombea Sana Rais Magufuli...!!!.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amesema hana kinyongo
wala uadui na mtu yeyote kuhusu hatua ya serikali kumweka mahabusu
kwenye gereza la Kisongo kwa muda wa miezi 4 kwa kukosa dhamana.
Kauli hiyo ali… Read More
Ahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Kumbaka Mjukuu Wake..!!!.Fahamu zaidi hapa.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilayani Nzega mkoani Tabora, imemhukumu
kifungo cha maisha Hubasha Ngasa (62) mkazi wa Kijiji cha Ngonho baada
ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mjukuu wake mwenye umri wa miaka
minne.
A… Read More
Hatarii..Mchungaji Msigwa Naye Amrushia Makonda Kombora Zito,Adai Anayoyafanya ni Upuuzi wa Kiwango cha Juu..!!!.Fahamu zaidi hapa.
Hakuna vita yoyote ya kiroho wala kimwili ALIYOFANYA (BASHITE)Makonda BALI, ni Upuuzi wa kiwango cha juu in the real sense,
ANAJARIBU KUFANYA MAMBO YA TEMBO , KUMBE ANA ROHO YA SUNGURA, kulia
haitasaidia , atubu kwa ku… Read More
0 comments:
Post a Comment