Saturday 25 June 2016

#MICHEZO>>>Croatia yafa Kwa counter attack moja ya dakika za mwishon ndan ya extra time.Fahamu zaidi hapa.

 Ricardo Quaresma akifunga goli kwa kichwa aliloshinda dakika za niongeza.

Renato Sanches,miaka mwenye umri wa miaka 18 ambae anawindwa na Bayern Munich kukubali kutumià pesa ya kuweka rekodi ya usajili kwa kinda huyu,haikuwa jambo,dogo kufunga goli...Sub yake na Ricardo Quaresma imejibu,tena lala salama.

Croatia lazima wajilaumu,wametengeneza nafasi nyingi mno za kufunga,kuliko Portugal lakini ni sawa na kusema 'badluck'...Counter attack imewaondoa moja kati ya timu iliyoonyesha kuwa timu bora iwapo uwanjani ikionekana inacheza soka la hali ya juu sana kwenye Euro hii...Ila kinachofulahisha kumuona 'fundi' Sanches kwa mechi nyingine moja,kama sio tatu...Dogo aliikataa ofa ya Man United,akaikubali Bayern kuwa ni timu itakayompa mataji.Sanches yupo vizuri,Sana tu.

Huku Cristiano Ronaldo aweka rekodi kwa michezo 128 na kumpita Luis Figo kwa kuichezea timu ya taifa michezo mingi zaidi.
 Ricardo Quaresma akishangilia goli aliloshinda dakika za niongeza.
HILI NDILO GOLI WALILOSHINDI "Portugal"

0 comments:

Post a Comment