Saturday 25 June 2016

#MICHEZO>>>>Euro2016: Poland yailaza Switzerland.Fahamu zaidi hapa.

 Lewandowski 
 
Poland itakutana na Croatia ama Portugal katika robo fainali ya michuano ya Euro2016 baada ya kuishinda Switzerland kwa Penalti.

Jakub Blaszczykowski aliiweka mbele Switzerland kabla ya Xherdan Shaqiri kusawazisha kupitia bao zuri.
 Mashabiki wa Poland 
 
Mchezaji huyo wa Stoke alimfunga Lukas fabianski kupitia shambulio la 'Bycycle kick' kwa lugha ya Kiingereza.
Poland wakisherehekea bao lao 
 
Mchezaji aliyesajiliwa hivi majuzi na klabu ya Arsenla Granit Xhaka alikosa penalti kwa upande wa Switzerland baada ya mechi hiyo kuisha na sare ya 1-1.

0 comments:

Post a Comment