Friday 26 August 2016

Apewa talaka baada ya kulitaja jina la msanii Chameleone wakati akifanya mapenzi.Fahamu zaidi hapa.

Mwanamke nchini Uganda amepewa talaka baada ya kulia jina la Chameleone wakati akishiriki mapenzi na mumewe
– Chameleone ameweka kisa hicho kwenye Instagram baada ya kuchapishwa na gazeti moja la Uganda

Mwanamke mmoja Uganda amepewa talaka baada ya kuliita jina la msanii msifika Jose Chameleone wakati wakishiriki mapenzi na mumewe.

Habari hizo zimeenea kote Uganda baada ya mume huyo kuapa kumfurusha mkewe alipomlia mwimbaji huyo wa kibao maarufu Valu Valu.

Chameleone alionekana kufurahishwa na tukio hilo kiasi cha kupiga picha za habari zenyewe kwenye gazeti moja la hapo.


“Mume amfukuza mke kwa kumite Chameleone wakati wakishiriki mapenzi,” msanii huyo aliandika kwenye maelezo ya picha hiyo.

Kisa hicho kinajuia siku chache tu baada ya mwimbaji huyo maarufu wa Uganda kushirikiana na kundi la Elani katika kolabo ya “My Darling”, wimbo unaoangazia mapenzi, changamoto na kutoelewana kunakowakumba wapenzi.

0 comments:

Post a Comment