Wednesday 31 August 2016

#BURUDANI>>>DIAMOND ANUNUA GARI JIPYA LENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI MOJA YA KITANZANIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Huenda Diamond Platnumz akawa ameitimiza ndoto aliyokuwa nayo kwa miaka mingi – kumiliki gari alipendalo zaidi, Rolls Royce.
Kwa muda mrefu, staa huyo amekuwa akisema kuwa hilo ndilo gari analotaka kulimiki kiasi cha kujipa jina ‘The Rolls Royce Musician From East Africa.’

Diamond ambaye yupo jijini Los Angeles, Marekani alikoenda kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Ne-Yo, ameshare kipande cha video kwenye Instagram cha gari hilo na kuashiria kuwa huenda akawa amelinunua tayari.

0 comments:

Post a Comment