Monday 29 August 2016

Faiza Awataka Wasichana Kuwakimbia Wanaume wa Namna hii.Fahamu zaidi hapa.

Msanii wa filamu Faiza Ally amewataka wasichana wenzake kuwakimbia wanaume ambao wanawataka wasichana ili kufanya nao mapenzi kinyume na maumbile.
Faiza Ally

Muigizaji huyo ambaye yupo mbioni kuachia filamu yake mpya ‘Baby Mama Drama’, amewataka wasichana wenzake kuwaepuka wanaume wa nanma hiyo.

“Mtu anayekutaka kinyume na maumbile ni mtu katili sana,” aliandika Faiza instagram “Wanawake wenzangu msikubali kufanyiwa hivyo, mwananume anaetaka kukufanyia hivyo ni adui na hana mapenzi zaidi ya kuiridhisha nafsi yake tu,”

“Na ukikubaliana nae anaona amepata boya, mifano nimeona mingi sana na wengi wanalia na wamebaki namaumivu na chuki, hata ukinunuliwa gari halita kuwa milele, hata ukiwa na nyumba hutakula matofali, ukipewa hela zitaisha, ukipewa kazi mkataba utaisha pia, ukiolewa baada ya muda utachoka kugeuzwa kila siku na ndoa itakua haina amani moyoni, maana kigezo sio cha kumpendeza Mungu lakini utu wako utabaki milele,” alifafanua.

“Pia siku zote usifike mwisho ukakosa plan b siku zote kuna plan nyingine maana wanawake tunatabia ya kujitolea tupate jambo fulani lakini si kweli kwamba bila kutoa nyuma utafeli kila sehemu, ukikutana na jambo kama hili basi acha tafuta kungine ! hakuna kisicho wezekana haijalishi una haso muda gani, usikubali kuna watu wame haso miaka 30 na akapata wa 31. Mungu anatoa kwa wakati sahihi,” aliongeza.
Aliongeza,

0 comments:

Post a Comment