Tuesday 30 August 2016

#YALIYOJIRI>>>>HAKIKA KWA HII SHOW ALIYO FANYA DIAMOND NCHINI KENYA ..HAWEZI SAHAULIKA KAMWE ..AMEACHA HISTORIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Diamond Platnumz ana miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake. Kutoka kwenye mapokezi yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi kuangusha show iliyohudhuriwa na makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye ligi yake mwenyewe. Jionee

0 comments:

Post a Comment