Monday 29 August 2016

#MICHEZO>>>CHEKI ZAZA ALIVYOKAMILISHA NA KUTUA WEST HAM, SUBIRI MAMBO YAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.

West Ham wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Simone Zaza kutoka Juventus ya Italia.

West Ham inayoshiriki Ligi Kuu England, imetoa pauni milioni 4.3 ingawa dili lenye litahusisha jumla ya pauni million 17.

Zaza alipata umaarufu mkubwa kati Euro nchini Ufaransa alipoingizwa katika kipindi cha dakika za nyongeza ikionekana ameingizwa kusaidia litakapofikia suala la kupiga penalti lakini ulipofikia wakati huo akakosa kwa kupiga penalti iliyopewa nina la Mwendo Kasi.

0 comments:

Post a Comment