Tuesday 19 September 2017

Breaking News>>>Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo yupo Chini ya Ulinzi wa Polisi.

Mh. Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo yupo chini ya ulinzi wa polisi muda huu. Kukamatwa kwake kuna kuja baada ya agizo la spika wa Bunge Job Ndugai kumhitaji afike kwenye kamati ya maadili mjini Dodoma kwa kile kinachoitwa na spika kusema uongo kuhusiana na kupigwa risasi Mh. Tundu Lissu.

Ikumbukwe Mh. Kubenea alikuwepo bungeni wiki hii, lakini akiwa ameshaondoka Dodoma yupo Morogoro akapigiwa simu ya kurudi Dodoma ndipo alipowaambia kuwa asingerudi Dodoma kwa ku...wa alikuwepo huko na walishindwa kumhoji.

Hayo yakiendelea Mapema leo gazeti lake la MWANAHALISI limefungiwa miaka miwili kwa kile kinachoitwa na serikali kuandika habari za kichochezi.
TOA MAONI YAKO

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment