Wednesday 27 September 2017

Rais Magufuli Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Kilichoanza Leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichoanza leo Jumatano ya Septemba 27, 2017 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Kikao hicho kimehudhuriwa na wajumbe wote wa Halmashauri Kuu,wakiwemo Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Alli Mohamed Shein,Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Alli Idd.

Makamu Mwenyekiti wa CCM) PhiliP Mangula (kulia) akikaribishwa ukumbini.

Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili ukumbini.

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Mohammed Shein.

Rais Shein akisalimiana na Spika wa Bunge, Job Ndugai.
RAIS na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Ikulu jijini Dar es Salaam ambacho kimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho.
   

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment