Monday 18 September 2017

Cannavaro Amfuata Manji Mahakama ya Kisutu..Kunani?

Baada ya kutinga mahakamani hapo, Cannavaro alimuwahi Manji na kusalimiana naye kisha kupiga kuzungumza mambo machache ambayo hata hivyo haijajulikana kama walikuwa wakijadili mambo ya soka kuhusu klabu hiyo au la!

 Klabu ya Yanga imekuwa ikiongozwa na Manji kwa miaka mingi ambapo baada ya kushtakiwa na kuwekwa rumande kwa miezi kadhaa kabla ya wiki iliyopita kuachiwa huru kwenye kesi ya uhujumu uchumi.

VIDEO:

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment