Monday 25 September 2017

Maneno ya Godblee Lema Baada ya Kukamatwa Msigwa 'Msiogope Baada ya Giza Nene Asubuhi Utokea'.

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema ameeleza baada ya Mbunge wa Iringa Mjini kukamatwa jana wakati akiwa katika mkutano wake katika kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa.
Lema kupitia ukurasa wake wa Twitter baada ya mbunge huyo kukamatwa amesema kuwa wasiogpe baada ya giza nene asubuhi hutokea.
Msigwa amekamatwa na Polisi huko Iringa na kushushwa kwa nguvu jukwani ktk Mkutano halali. Msiogope baada ya giza nene asubuhi hutokea!
Msigwa alishushwa jukwaani kwa nguvu akiwa anahutubia mkutano katika kata ya Mlandege huku akituhumiwa na kosa la uchochezi dhidi ya vyombo vya usalama.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment