Wednesday 27 September 2017

Uzushi Ambao Umesambaa Kuhusu Wanawake wa Zanzibar na Ubikira Wao.

Nimegundua kuna uzushi ambao umesambaa sana hasa huku Tanzania bara juu ya wanawake wa Zanzibar, hivyo mimi nimeamua kuja kuweka ukweli wote hapa.

Kuna mada ilipostiwa juzi hapa JF, kuhusu mikoa ya Tz na wanawake bikra waliopo katika mikoa hiyo ambao wamefikisha umri wa miaka 25. katika ile list wanawake wa Zanzibar waliongoza ( pemba 45%, na unguja 43%) huku wa Dar es salaam wakishika mkia kwa 3%.

Sasa baada ya kupitia comments za watu, nikaona kuwa wengi wanasema kuwa wanwake wa Zanzibar wapo bikra kwa sababu wanafanya mapenzi kinyume na maumbile kabla ya ndoa.

Hii dhana siyo ya kweli kabisa, ni uzushi tu uliosambaa kwa kasi ya 4G. halafu nimegundua kuwa wengi wanao sambaza uzushi huu hata zenji hawajawahi kufika.

Nakubali kuwa jamii yoyote lazima watakuwepo "wahuni", hivyo sikatai kuwa baadhi yao kuwa wanafanya hivyo vitendo. ila ni wachache sana ( less than 0.01% ) kitu ambacho si haki kuki generalize kwa population nzima.

Hivyo basi msiwachafue wanawake wa Zanzibar kwa vitu ambavyo sio vya kweli.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment