Friday 15 September 2017

Wote Tumeongea Kuhusu Tundu Lissu Lakini Kwa Huu Wimbo wa Aslay Aliyomuimbia Lissukatuzidi!.


https://my.notjustok.com/track/download/id/271114



Lissu Get well soon!
kuna watu bwana eti wasiojulikana,
Wazalendo raha hatuna,
Tanzania amani hakuna,
wasidhani sisi ni wajinga sana,
kwa hili tunaumia roho zetu,
kwani lisu lipi baya alilofanya,
Mbona mwaharibu taifa letu,
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa nae
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa naye.
Sababu yake amani hakuna,
Ama zake ama zetu,
tutakufa naye.
Yalianzia kibiti Pwani,
na kutekana watu jamani,
siyo kama raia hatuoni,
kwa Lissu mmetugusa moyoni,
Nini chanzo bwana au ni kusema ukweli,
wasidhani sisi ni wajinga sana,
kwa hili tunaumia roho zetu,
kwani Lisu lipi baya alilofanya,
Mbona mwaharibu taifa letu?
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa naye,
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa naye.
Kwa sababu yake amani hatuna!

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment