Sunday 15 January 2017

#MICHEZO>>>>RIADHA YAIBEBA TANZANIA INDIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

MWANARIADHA chipukizi wa kitanzania, Alphonce Felix Simbu (aliyezaliwa 14 Feb 1992), ambaye katika mbio za Marathon za Olimpiki zilizofanyika mwaka jana (2016) katika jiji la Rio de Jeneiro, Brazil, alishika nafasi ya TANO ya Dunia, muda mfupi uliopita ameipeperusha vema bendera ya Tanzania kwa kushinda mbio za Standard Chartered Mumbai Marathon (India). Kijana Simbu amejinyakulia kitita cha Dola za Marekani Elfu 67, sawa na TSh144m.

INAWEZEKANA... *HONGERA SANA SIMBU, HONGERA WAZIRI NAPE, HONGERA RAIS WA RT HON ANTHONY MTAKA NA WATANZANIA WOTE*👏🏾👏🏾



Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment