Sunday 27 March 2016

Director Nisher; Nini Kimepoteza Umaarufu Wa Kazi Zake.Fahamu zaidi hapa.

Director nisher nakumbuka kipind kile unafanya Mama Yeyo, Jikubali, na Nje ya box. Kila mtu anayependa muziki mzuri basi sio rahisi kukosa kulitaja jina lako ukipost kipande cha video tu insta watu wanakurupusuana kila kona waje wakiangalie Video zako zilibamba sana mpaka kupigwa channel 0 Wasanii wote walikuwa wanakuja chuga kupata huduma yako.

Mambo yalivyo sasa: Nisher huna fans yaan umebaki kama gofu, watu wanamuamini Hanscana, Khalfan, na Joowzey wanakuacha wewe, nimepita jana Youtube Video yako ya mwisho ina viewers elfu 12, nini tatizo? Ndo kusema baba ako (Geordavie) hapendi unachofanya? ulilewa sifa ulipokuwa on top? au ndo Hanscana na Khalfan wamekufunga kwenye chupa?

0 comments:

Post a Comment