Wednesday 30 March 2016

Train la abilia lasimama kituo cha Barkhresa kwa muda wa saa moja kupisha Train linalotoka Kigoma.Fahamu zaidi hapa.

 Train la abilia linalofanya  safari zake kutoka Station mpaka Ubungo Maziwa lasimama saa moja nanusu kupisha train linalotoka  Kigoma huku baadhi ya abilia wakilalamika kukaa muda mrefu kituo cha Buguruni Barkhresa huku abilia wakiambiwa wasubili Train linalotoka Kigoma lipite muda wa jioni. 

0 comments:

Post a Comment