Wednesday 23 March 2016

Mbwana Samatta aibeba Taifa Star's baada kuifungia goli moja.Fahamu zaidi hapa.

Mbwana Samatta wakiwa katika pozi la fura na kiungo wa Simba  na timu ya taifa ya Tanzania Mwinyi Kazimoto baada ushindi wa bao moja lililofungwa na Mbwana Samatta baada ya Mbwana Samatta dk 30 kufuatia krosi ya Farid Mussa na kufanya matokeo kuwa FT Chad 1-0 Taifa Stars mpaka mpira unaisha.
 
Mwinyi Kazimoto ameionesha kwenye kupitia account yake ya facebook mbapo ameanfika ujumbe wenye kauli ya Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda ambayo kuna wakati aliitumia Bungeni na kauli hiyo ikapata umaarufu mkubwa sana ‘wapigwe’
.
Ongera sana Taifa Star's kwa ushindi.

0 comments:

Post a Comment