Thursday 13 July 2017

Mange Kimambi Amshauri Jack Wolper Baada ya Mpenzi Wake Mpya Kuaibika na Skendo Chafu ya Ushoga.

By Mangekimambi_ - Leo ntakushauri humu insta Kama navyomshaurigi mdogo wangu Wema......

Huyo Hamo mmeachana muda mrefu na ulikuwa unajua yuko na Huyo Mzungu na uliweza kumove on na Masha yako bila kujidhalikisha hivi na kiboyfriend ila Mara tu habari ilipowafikia wananchi na imekuwa sio siri tena unataka kushindana na huyo mtoto na Mzungu wake... Unajiabisha bwana..
.
.
Huwezi shindana na mwanaume kwenye hayo mambo mwisho wa siku unajiharibia zaidi. Huna Hana Haja ya kuwaonyesha walimwengu na wewe una kiboyfriend. Wana kusaidia nini zaidi ya kukucheka? Huu ni ushauri kutoka kwa mwanamke aliepitia situation ngumu kushinda yako, Mimi nilikuwa nimeolewa kabisa na watoto juu then Mara mwanaume kalipuka na mapicha ya mapenzi kwenye insta tena anawapa adui zangu warushe. Zile picha zilikuwa kila konaaaaaa insta, nilichekwa, nilibezwa ila sikudhubutu kufanya ujinga ili nishindane na Mzungu. Nilijiheshimu. Yawezekana hata nilikuwa nna stress na labda niligawa K kwa wanaume ambao hawakuni deseve Ila hakuna atakaejua na hakuna wa kuja kumuonyesha picha my hubby to be za Mimi nikiwa nalambana na kiserengeti boy kipindi kile...Yani kama nilifanya ujinga itakuwa siri yangu mimi ntakufa Nayo. .
.
Kwanini uruhusu mwanaume akuharibie future yako ya kupata mwanaume wa maana wa kukuoa? Seriously Wolper ni mwanaume gani mwenye Maisha yake mazuri atataka kukuoa kwa upupu huu? Juzi tu mapicha ya kulambana na Hamo Leo mapicha ya kitandani na hiko ki-useless kingine. Why??hufikiriiii future yako? Hujaolewa huna mtoto why unajiharibia chances zozote za kupata mwanaume wa maana?? Kwani huwezi kutiwa kimya kimya???Hivi ni mpaka Watu wajue na wewe unatiwa ?? Kha!! .

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment