Tuesday 11 July 2017

Umesikia Walichokisema Yanga Kuhusu Dida?

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa bado nafasi ya aliyekuwa mlinda mlango wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’, ipo japokuwa ameondoka klabuni hapo.

Dida amekataa kuongeza mkataba mwingine wa kuitumikia Yanga kufuatia mchakato wake wa kwenda kucheza soka la kulipwa Afrika Kusini.

Akizungumza na Championi Jumatatu, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Hussein Nyika, ameeleza kuwa, licha ya kuondoka kwa Dida katika timu hiyo, bado atakuwa na nafasi yake iwapo atahitaji kurejea kikosini hapo.

“Dida siyo mchezaji wetu kwa sasa kwani mkataba wake umeisha mwezi huu wa saba na sasa anakwenda Afrika Kusini kufanya majaribio, tulitaka kumuongeza mkataba mwingine lakini amekataa.

“Nafasi bao ipo wazi kwake aende kufanya majaribio na iwapo atarejea basi nafasi yake ipo, ila hatujui anakwenda timu

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment