Saturday 22 July 2017

RWANDA YAITUPA NJE TAIFA STARS MICHUANO YA CHAN.

Taifa Stars imetolewa nje katika michuano ya kuwania kucheza Chan.

Stars imetolewa baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya Rwanda katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amahoro jijini Kigali.

Kwa kuwa Stars na Rwanda zilitoka sare ya bao 1-1, mjini Kirumba hivyo Rwanda inasonga mbele .

1. Aishi Manula
2. Boniphace Maganga
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Salim Mbonde
6. Himid Mao
7. Simon Msuva
8. Mzamiru Yassin
9. John Bocco
10. Raphael Daudi
11. Shiza Kichuya

Kikosi cha akiba

12. Said Mohamed 
13. Hassan Kessy 
14. Nurdin Chona
15. Salimin Hoza
16. Said Ndemla 
17. Joseph Mahundi 

18. Stamili Mbonde

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment