Thursday 27 July 2017

MBONDE, MUZAMIRU NAO WAANZA MAZOEZI NA KIKOSI CHA SIMBA SAUZ.

Salim Mbonde na Muzamiru Yassin ni kati ya wachezaji wa Simba walioanza mazoezi na kikosi hicho.

Samba ipo kambini jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini ikijiandaa na msimu mpya.


Mbonde pamoja na Muzamiru wamejiunga na kikosi hicho wakiongozana na Shiza Kichuya na John Bocco baada ya kuwa wamemaliza majukumu ya kuitumikia Taifa Stars katika michuano ya kuwania kucheza Chan ambayo wametolewa na Rwanda.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment