Monday 17 July 2017

YULE KIUNGO WA ZAMANI YANGA ALIYEICHEZEA SIMBA, AMETUA MBEYA CITY.

Kiungo wa zamani wa Yanga na Coastal Union, Bakari Masoud ambaye ilionekana atasaini Simba, ametua Mbeya City.
Masoud amejiunga Mbeya City kwa mkataba wa miaka miwili na tayari kuanza kazi mara moja.
Kiungo huyo aliyeanza kuonekana Yanga, aliichezea Simba katika michuano ya Kombe la SportPesa Super Cup.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment