Friday 18 August 2017

Dogo Janja Afunguka Namna Anavyomzimikia Irene Uwoya.

Mwimbaji staa wa Bongofleva Dogo Janja ambaye amefunguka kuhusu maisha yake, muziki wake na namna walivyotofautiana na Producer P Funk Majani mpaka akaacha viatu studio za Bongo Records.

Mbali na hayo Dogo Janja kazungumzia pia kuhusu kudaiwa kuwa mapenzini na mwigizaji Irene Uwoya.

”Mtu kama Irene Uwoya ni namu-admire, nampenda lakini sipo naye kama vile watu wanavyofikiria. Love yangu kwa Irene Uwoya haifichiki ila suala la kuwa kwenye mahusiano naye mimi sina. Nimeshawahi kuwa na mtu aliyenizidi umri na nachezaga na wa mwaka 1987 au kuivuta 89.

“Anakuwa amenizidi miaka kama sita au mitano na nakuwa sawa kabisa japo huwezi nikuta nikitembea na mwanamke siwezi kabisa.” – Dogo Janja

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment