Wednesday 9 August 2017

MSUVA ALIVYOTAMBULISHA UZI WA UGENINI WA DIFAA AL JADID.

Mtanzania Simon Msuva alikuwa mmoja wa Watanzania waliopata nafasi ya kutambulisha jezi za ugenini za klabu ya Difaa Al Jadid ya Morocco.

Mtanzania huyo aliungana na wachezaji wengine wawili kufanya utambulisho huo akionekana kuwa ni sehemu ya chaguo.
 Msuva amesaini mkataba wa miaka mitatu kuichezea Difaa Al Jadid, akitokea kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania, Yanga.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment