Sunday 18 February 2018

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Zimbabwe Akamatwa Kwa Tuhuma za Kumpa PHD Mke wa Mugabe.

ZIMBABWE: Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Zimbabwe, Levi Nyagura Akamatwa kwa tuhuma za kumtunuku Shahada za Uzamivu(PhD) Mke wa aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo Robert Mugabe

Bi Grace Mugabe alitunukiwa Shahada hiyo baada ya kusoma kwa miezi michache kinyume cha utaratibu huku kukiwa na harufu ya rushwa

Wakufunzi kutoka Idara ya Sosholojia chuoni hapo wamesema kuwa hawajaona nyaraka zozote za kuthibitisha kuwa Bi. Grace Mugabe alistahili kutunukiwa Shahada hiyo ya Uzamivu na kuomba mamlaka husika zimfutie Bi. Grace Shahada hiyo

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment