Thursday 1 February 2018

"Nyumba Yangu ina vyumba Viwili Nimenunua Milioni 100" Lulu Diva.

Msanii LuluDiva ambaye ameachia wimbo mpya hivi karibuni kaelezea gharama za video hiyo ambayo amesema kuwa sichini ya millioni 15 lakini pamoja na Hilo kaelezea mjengo wake mpya ambao anadai kanunua millioni 100 na kaukarabati upya.

VIDEO:

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment