Thursday 15 February 2018

Mwamuzi Jonesia Rukyaa Ameteuliwa Kuchezesha Michuano ya Algarve Nchini Ureno.

Shirikisho la soka Tanzania (TFF), limesema kuwa mwamuzi wa kike nchini mwenye beji ya Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA), Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuchezesha mchezo wa michuano ya Algarve kwa mwaka huu nchini Ureno zitakazo anaza Februari 28.

“Mwamuzi wa kike kutoka Tanzania mwenye beji ya FIFA Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuchezesha mechi za Algarve Cup 2018 nchini Ureno zitakazoanza Feb 28 hadi Machi 07, 2018.”

Michuano hiyo yaAlgarve ni michuano inayoshirikisha timu za wanawake ambayo itaanza kutimua vumbi mwezi huu wa Februari na kumalizika Machi 7 mwaka huu.

Jumla ya timu 12 zimealikwa katika michuano hii ambapo zitagawanyika katika makundi matatu wakati mataifa ya takayoshiriki ni.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment