Thursday 8 February 2018

Wema Sepetu na Diamond Watinga Mahakamani Kisutu.

KISUTU: Msanii Wema Sepetu leo amefika Mahakamani kufuatilia kesi yake ya kukutwa na msokoto wa Dawa za Kulevya aina ya Bangi

Wema amefika Mahakamani hapo akiwa na Wakili Albert Msando aliyetangaza kumtetea baada ya Wakili Peter Kibatala kujitoa kumtetea msanii huyo
Wakati huo huo, Msanii wa Muziki nchini, Naseeb Abdul(Diamond Platnumz) naye amefika Mahakamani hapo na Mzazi mwenzake Hamisa Mobetto kwa ajili ya kusikiliza shauri lao la matunzo ya mtoto

Shauri hilo la matunzo ya mtoto lilifunguliwa na Hamisa Mobetto akiomba Mahakama iamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment