Sunday 29 January 2017

#Breaking News>>>>Treni ya abiria inayofanya safari zake kutoka Dar-Kigoma lapata ajali hivi punde.Fahamu zaidi hapa.

Inaelezwa kuwa Treni ya abiria inayofanya safari zake kutoka Dar-Kigoma almaarufu DElux.


imepata ajali hivi punde maeneo ya Ruvu mkoa wa Pwani, ikitokea Kigoma kuja Dar,Hivyo kama una ndugu,jamaa au rafiki aliekuwa akisafiri leo.

Poleni sana kwa mliopata ajali. 

Kwa habari zaidi endelea kufatilia hii blog"www.hebronmalele.blogspot.com"


Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment