Wednesday 25 January 2017

Mwana FA: Sina Mpango wa Kufanya Kazi Tena na Lady Jay Dee.Fahamu zaidi hapa.

Rapa mwana fa anaefanya vizuri na wimbo wake wa “Duke Suruali ” amefunguka na kuweka wazi hana tena mpango wa kufanya kazi na msanii lady jaydee.
 
Mwana FA alisema hayo kupitia kipindi cha planet bongo kunachorushwa na east Africa radio ” kwasasa sina mpango tena kufanya Kazi na lady jay dee na hili swali sijui kwanini linajirudia Mara kwa mara na wasanii wengine na sina tatizo nao


Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment