Home »
Burudani
» #Burudani>>Mwimbaji Rayvanny Afunguka Haya Baada ya Muonekano Wake Mpya Kuwakwaza Mashabiki Wake.Fahamu zaidi hapa.
"Nimeona comments nyingi kuhusu rasta nilizoweka lakini naomba watu
waelewe kwamba haikuwa style yangu na wala sina mpango wa kufuga rasta
nitabaki na style yangu moja tu maana nimeona jinsi nilivyowakwaza
mashabiki wangu."- Raymond
Nini maoni yako?
Related Posts:
Jide Afunguka ya Kuachwa na Mnigeria Wake.Fahamu zaidi hapa.
Jide afunguka ya kuachwa na Mnigeria wake
Wakati maneno ya chini chini yakiwa yanaendelea kuhusu kupigwa kibuti
na mpenzi wake mpya Spicy kutoka Nigeria, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’
amefunguka na kusema wabongo wengi wa… Read More
Huyu Ndiye Mwakyembe Bwana..Soma Hapa Maneno Aliyompokea Nayo Nay a Mitego Baada ya Kufika Dodoma…Lazima Ucheke Aisee.Fahamu zaidi hapa.
Rapper Nay wa Mitego, Alhamis hii aliitikia wito wa Waziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe kukutana
naye mjini Dodoma kwaajili ya kuzungumza namna ya kuuboresha wimbo wake
Wapo ambao licha… Read More
Skendo Zampa Stress Davido, Alazwa Hospitali.Fahamu zaidi hapa.
MKURUGENZI wa Lebo ya HKN, David Adeleke ‘Davido’ amekimbizwa hospitali
na kulazwa huku chanzo kikidaiwa kuwa ni ‘stress’. Tukio hilo limejiri
juzikati ambapo inaelezwa kuwa, Davido amekuwa akisumbuliwa na skendo
inayozi… Read More
Hatarii..Siwema Amvua Nguo Hadharani Nay wa Mitego ,Aanika Siri Zake Zote.Fahamu zaidi hapa.
MZAZI mwenziye na Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,
Siwema Hudson amesema kitendo cha serikali kumpa kashikashi kutokana na
wimbo wake wa Wapo hakikumshangaza kwani alitarajia hayo yatokee kwa
kuwa z… Read More
Baada ya Harmorapa..Sasa Kuna Wemarapa..Adai Wema Anajipendekeza Kwake Ila Hana Mpango Nae.Fahamu zaidi hapa.
Kuna imani kuwa duniani wawiliwawili! Hii inajidhihirisha kwa mwanadada
Lisa Deedee `Tuerny’ ambaye amejipatia umaarufu mitandaoni kutokana na
kufananishwa na staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu.
Kupitia gazeti hil… Read More
0 comments:
Post a Comment