Thursday 30 March 2017

ILE TAARIFA YA NYASI BANDIA ZA SIMBA ZILIZO BANDARINI KUTAKA KUPIGWA MNADA IKO HIVI.

Kuna taarifa ya nyasi za bandia za Simba kutaka kupigwa mnada imekuwa ikisamabaa kwa kasi kubwa mitandaoni na iko hivi.

"Kampuni ya udalali ya Majembe Auction Mart inataka kupiga mnada nyasi bandia za SIMBA SPORTS CLUB na magoli yake, sababu kubwa ni uongozi (wamiliki) kushindwa kuzilipia kodi. 

Mnada utafanyika siku ya:
Alhamisi 30/03/2017. 

Eneo:Nyuma ya "The Waterfront Sunset Restaurant and Beach Bar", barabara ya Yatch Club, Masaki, ofisi mnada utakaofanyika zinaitwa LW9.

Juhudi za kuwasaka viongozi wa Simba ili walizungumzie hili zinaendelea. Baadhi yao bado hawajapokea simu na wengine tunaendelea kuwatafuta.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment