Sunday 26 March 2017

MAVUGO AUNGANA NA BURUNDI JIJINI DAR, KAZI IPO NA BANDA JUMANNE.FAHAMU ZAIDI HAPA.


  Kikosi cha timu ya taifa ya Burundi, tayari kipo nchini kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars, Jumanne.



Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo ameungana na kikosi hicho leo.

Lakini Amissi Tambwe, yeye ni majeruhi, hakuitwa katika kikosi hicho.

Mavugo atacheza dhidi ya Stars Jumanne, huku akitarajiwa kuchuana na beki wa Simba, Abdi Banda ambaye wanacheza kikosi kimoja, kama Kocha Salum Mayanga atampanga.





Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment