Thursday 30 March 2017

WATU WAHOJI HUU UMATI WA WAANDISHI WALIOHUDHURIA MKUTANO WA MAKONDA LEO KAMA SIO UNAFIKI NI NINI ? FAHAMU ZAIDI HAPA.

Waandishi wakimsubiri RC Makonda leo mjini Dodoma kabla ya mkutano wake na wanahabari.

WATU WANAHOJI KAMA WAANDISHI WALIKUWA NA MGOMO NA RC MAKONDA VP HUU UMATI WA WAANDISHI WAKAHUDHURIA HUU MKUTANO WA RC MAKONDA ULIOFANYIKA DODOMA LEO.



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment