Monday 3 July 2017

Malaika Akumbwa na Pepo la Picha za Utupu.

MUNGU WANGU! Mastaa wa Bongo ni kama wamevamiwa na pepo la picha za utupu au zinazoonyesha baadhi ya viungo vyao vya siri. Baada ya Ben Pol kuanza, sasa ni zamu ya Malaika anayetamba na ngoma yake ya Rarua Rarua.


Malaika amezua gumzo kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram baada ya kuposti picha inayoonyesha vizuri matiti yake, hali iliyopelekea baadhi ya mashabiki kumrushia maneno ya kashfa, huku wakitafsiri kitendo hiko kama sehemu ya matangazo ya biashara ya mwili wake, hivyo baadhi yao wakikomenti na kumtaka kuanika na bei anayojiuzia.


Picha aliyoposti
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment