Sunday, 21 August 2016

#BREAKING NEWS>>>>VURUGU KUBWA ZATOKEA KWENYE MKUTANO WA CUF LEO HII. LIPUMBA AINGIA UKUMBINI KIBABE KWA KUTUMIA MABAUNSA WAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.

PROF.LIPUMBA AKIWA NDANI YA UKUMBI MALA BAADA YA KUINGIA KWA NGUVU UKUMBINI BAADA YA ZUIO LA KUTAKA ASIINGIE KUGONGA MWAMBA

MAALIM SEIF, JULIUS MTATIRO WAKACHA NA KUKIMBIA KIKAO CHA MKUTANO MKUU MAALUM WA CUF BAADA YA HOJA YAO YA UCHAGUZI WA MWENYEKITI KUKATALIWA NA WAJUMBE NA KUMTAKA PROF. LIPUMBA AENDELEE.

JARIBIO LA KUMZUIA LIPUMBA ASIINGIE UKUMBINI LILIKWAMA NA WANACHAMA KUMUINGIZA KWA NGUVU NDIPO KIKAO KIKAAHIRISHWA MPAKA SAA KUMI NA NUSU HUKU PROF. LIPUMBA AKIENDELEA KUBAKI UKUMBINI. MPAKA SASA SEIF NA MTATIRO HAWAJULIKANI WALIPO, INASEMEKANA WAMEENDA KUCHUKUA MAELEKEZO……..
=========
Updates:
Habari za hivi punde zinasema Mwenyekiti wa Mkutano Mtatiro ameuhairisha hadi hapo utakapotangazwa tena.
Hatua hii ni baada ya kutokea kwa fujo kubwa ukumbini hapo muda si mrefu.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment