Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina. Alafu cha ajabu haendani na comedy kabisa, ukimuona mtoto mrembo kabisa aisee
Saturday, 13 August 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Katarina Karatu, mchekeshaji wa kike namba 1 Tanzania.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>Katarina Karatu, mchekeshaji wa kike namba 1 Tanzania.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#BREAKING NEWS>>MCHEKESHAJI MAFURU NCHINI KENYA AMEFARIKI DUNIA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa … Read More
Rapa Chemical Aweweseka Mwenyewe Suala la Rosa Ree.Fahamu zaidi hapa. Kwa muda mrefu msanii Chemical amekuwa ndio Rapa pekee wa kike aliyesimama na kuteka wengi, Ila ujio wa rapa mpya Rosa Ree umekuwa mwiba kwake kwani amekuwa akizunguka kwenye media na kumsema kwa jazba kuwa asilinganishw… Read More
Roma awa gumzo mtandaoni baada kuimba nyimbo ya kumsifu Mungu.Fahamu zaidi hapa. Msanii wa muziki wa hip hop Roma Mkatoliki Ijumaa hii katika mitandaoni ya kijamii amekuwa gumzo baada ya kuonekana akiimba wimbo wa kumsifu Mungu ikiwa na wiki moja toka atekwe na kuachiwa. Katika video hiyo rapa huyo … Read More
Sanchi; Aeleza Kalio Linavyompa Mamilioni.Fahamu zaidi hapa. MODO aliyejaaliwa kuwa na figa matata, Jane Ramoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa, shepu yake inampa madili ya kumuingizia mamilioni ya pesa hivyo kuweza kuyaendesha maisha yake bila presha. Akizungumzia usumbufu anaopata kut… Read More
Ndoa ya Lulu na Boss wa EFM Majay yanukia.Fahamu zaidi hapa. Elizabeth Michael (Lulu) amedai ndoa yake na mpenzi wake Dj Majay inakaribia. Muigizaji huyo ambaye ameonekana kutulia sana tangu alipokuwa na mahusiano na bosi huyo wa EFM na TVE amesema hivi karibuni wale waliokuwa wak… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment