Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Msanii Ruby na Clouds FM Hapatoshi..Aikacha Show ya Fiesta Mwanza Kisa Maslahi Madogo.Fahamu zaidi hapa.
Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana
Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa
wasanii waliosajiliwa...
Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika
Exclusive Ruby Amezungumza mengi ila kati ya machache ni "Maslahi
yamenifanya nisiende kwenye Fiesta, Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na
kuongea, end of the day it's not about clouds it's about my
future.Katika shindano la super diva ilikuwa super diva mshindi atafanya
Fiesta, wakati umefika lakini ntafanya Fiesta for nothing? Mimi sitaki
kuongelea price ambayo naipata sababu nahisi nikiongea sijui watu
watajiskiaje ukubwa wa show ulivyo. ...Tunakuwa na menejiment ambazo
zinaendesha wasanii kimabavu, unadhani kwanini @jidejaydee wanamuita
komando??
JE Mdau Unaona Huo Ndio Mwisho wa Ruby ? Au Clouds FM ndio wanamakosa... ?
Kwanza migogoro ilianza na Mkubwa na Wanawe , Sasa imegeuka kwa Clouds
FM ambao ndio waliomtoa na kumkuza mpaka hapo alipo sasa....
Related Posts:
Tunda Afichwa na Penzi la Mbunge Apangiwa Apartment.
BAADA ya Dishi Bovu kunasa ubuyu kwamba mwanadada, Tunda Sebastian kuwa
anatoka na mbunge mmoja hivi anayemiliki hoteli ya kifahari jijini Dar
na kumpangishia ‘apartment’ maeneo ya Tegeta, liliamua kutega antena
zake ili… Read More
Mmh! Ili Swali la Zari kwa Diamond Hatari Tupu...... "Ati Madale State Lodge au Madale State Gesti Hause?".
Zari the boss lady ambaye ni mzazi mwenzake Diamond Platnumz ameonekana
kupata taarifa hizo kuhusiana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya
kijamii na kuamua kuandika ujumbe kwa Diamond Platnumz kupitia mtandao
wa s… Read More
Diamond Ashinda Tuzo ya Best Male MVP Nigeria.
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz ameshinda tuzo kutoka Kituo cha Runinga cha Soundcity.
Muimbaji huyo ameshinda katika kipengele cha Best Male MVP ambapo
alikuwa akichuana na wasanii wengine kama Davido, RunTown, … Read More
VIDEO: Zamaradi Mketema Afunguka kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Ndoa yake, Ruge, Clouds na Vingine *Exclusive.
Kwenye Chill na Sky, Zamaradi Mketema anafunguka kwa mara ya kwanza
kuhusu ndoa yake, uhusiano wake na baba wa watoto wake wawili, Ruge
Mutahaba, alivyojisikia baada ya Adam Mchomvu na Soudy Brown kuiponda
ndoa yake na m… Read More
Bill Nass Amuwezesha Uchebe Ili Kupambana na Nuh Mziwanda.
Msanii wa Bongo Fleva anayefanya vizuri katika game kwa sasa, Billnass
amemtaka mume wa msanii Shilole, Uchebe kupambana pale inapobidi ndiyo
maana ameamua kumzawadia vifaa vya mazoezi ili hata kupambana na Nuh
Mziwanda … Read More
0 comments:
Post a Comment