Home »
Habari Moto
» #BURUDANI>>>>Wema Sepetu na Petit Man Wamaliza Tofauti zao.Fahamu zaidi hapa.
Kwa miezi kadhaa sasa Wema Sepetu na Petit Man walikuwa wakichuniana
hadi kuwafanya mashabiki waanze kuuliza maswali kupitia mitandao ya
kijamii kutaka kujua kunani!
Lakini usiku wa August 16, wawili hao walionekana wakijirekodi video
fupi na Wema akaiweka katika account yake ya SnapChat. Baadaye
kulivyokucha Wema alionekana kupost video clip ile ile ya SnapChat
kwenye Instagram kuandika hivi: Yes…! He has a piece of me…
@officialpetitman_wakuachetz”
“Mimi sidhani kama nina tatizo na Wema. Ndiye aliyenifanya mimi
nijulikane na Wema ndiye mtu ambaye mimi nimetoka naye mbali sana miaka
tisa. Kwahiyo hata kama nikiwa nimegombana naye siwezi nikasema siongei
naye, kwahiyo mimi nahesabia sina tatizo naye kama watu wanavyodhani,”
alisema.
Related Posts:
Pendeza na Dar Empire Products: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Sawa Bila Madhara yoyote.
PENDEZA NA DAR EMPIRE PRODUCTS: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAWA
KWA PRODUCT ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI
KWAARAKA.
1)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI KUPAK
2)TOA K… Read More
Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo.
Job Opportunity at Info-Consultancy Ltd, Sales Representative
Job Opportunity at Bluebay Hotels, General Manager
Job Opportunity at World Vision, ICT-Officer
Job Opportunity at Mamujee Products Ltd, Quality Inspector
Jo… Read More
Uganda Yafuata Nyayo za Tanzania Yapiga Stop Bunge Kuonyeshwa Live.
Vyombo vya habari nchini Uganda vimezuiwa kuonyesha moja kwa moja matangazo ya Bunge ambalo linaendelea na vikao.
Mkurugenzi wa Tume ya Utangazaji nchini humo, Godfrey Mutabuzi amesema
redio na runinga zote haziruhusiwi k… Read More
Chadema Wapingana na Mwigulu Yasimamia Msimamo Wake wa Uchunguzi Kutoka Nje Shambulio la Lissu.
Chadema imesema haitabadili msimamo wake wa kutaka wataalamu kutoka nje
kuchunguza shambulio dhidi ya mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.
Juzi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba alisema hakuna haja ya
kuhan… Read More
Msigwa Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kutishia Kuua.
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amepandishwa kizimbani
leo Alhamisi katika Mahakama ya Mwanzo Mjini Iringa kwa madai ya kumtusi
na kutishia kumuua aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kitwiru, Baraka Kimata.
Mbali … Read More
0 comments:
Post a Comment