Home »
Burudani
» Gabo Zigamba anusurika kifo katika ajali ya gari.Fahamu zaidi hapa.
Muigizaji wa filamu ya ‘Bado Natafuta’ Gabo Zigamba amenusurika kifo
katika ajali ya gari wakati akielekea hifadhi ya Ruaha akiwa na wenzake
wawili ambao wamejeruhiwa huku yeye akisalimika katika ajali hiyo.
Gabo amekanusha taarifa ambazo zimezagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki katika ajali hiyo.
“Uongo unaoishi ndiyo ukweli mpaka ukanushwe, nami naanzia hapa kwenye
kukanusha, ni kweli nimepata ajali lakini sijafa na maumivu ni ya ndani
sana,” aliandika Gabo katika istagram yake. “Na sijavunjika kama watu
wanavyosema ila naumia na jinsi watu wanavyo waombea wenzio Mabaya,”
Aliongeza, “Nilikuwa na lengo zuri la kugawana umasikini na wanyonge
wenzangu na hata Mungu akanisimamia. Eee Mollah wasamehe kwani na mimi
nimewasamehe, naamini utaniongoza na kunisimamia leo, kesho na hata
milele,”
Related Posts:
Diamond Afanya Kufuru Nyingine,Baada ya Marry Me ya Neyo,Mzigo Huu Ndio Unaofuata..!!!!.Fahamu zaidi hapa.
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’,
amesema wakati wowote kuanzia sasa ataachia albamu yake mpya
inayokwenda kwa jina la ‘Nothing But Bongo Fleva’.
Diamond ambaye kwa sasa anatamba… Read More
Diva Love Afunguka 'Ningekuwa Mwanaume Ningetoka na Jokate Kimapenzi'.Fahamu zaidi hapa.
Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM Diva amesema kama
angekuwa ni Mwanaume angem’date Jokate kwani anavutiwa sana na muonekano
wake wa baby face,pia amekiri kuwa alishawahi kumchangia Charity yake.
Mbali … Read More
Uwoya Ampa Tano JK kwa Kupenda Wanawake…!!!.Fahamu zaidi hapa.
Muigizaji Irene Uwoya amemshukuru Rais mstaafu Jakaya Kikwete kwa
kuwathamini na kuwaamini wanawake kwa kuwapa nafasi za juu katika
kuongoza taifa la Tanzania.
Uwoya kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kuw… Read More
Flora Mbasha Adaiwa Kupigwa Mimba.Fahamu zaidi hapa.
WAKATI vikao vya harusi yake vikiwa vinaendelea kusubiri kufunga ndoa
Aprili mwaka huu, nyota mkubwa wa nyimbo za Injili, Madame Flora, ambaye
ni maarufu zaidi kama Flora Mbasha, anadaiwa kupata ujauzito, Risasi
Mchangan… Read More
Joket Atoa ya Moyoni Baada ya Ali Kiba Kumkana Hadharani...!!!.Fahamu zaidi hapa.
SIKU chache baada ya msanii wa kizazi kipya, Ali Kiba, kudai kuwa
anamchukulia mwanamitindo Jokate Mwegelo kama rafiki yake, mrembo huyo
ameibuka na kusema huenda aliteleza kutoa kauli hiyo.
Jokate alitoa kauli hiyo m… Read More
0 comments:
Post a Comment