Home »
Burudani
» Gabo Zigamba anusurika kifo katika ajali ya gari.Fahamu zaidi hapa.
Muigizaji wa filamu ya ‘Bado Natafuta’ Gabo Zigamba amenusurika kifo
katika ajali ya gari wakati akielekea hifadhi ya Ruaha akiwa na wenzake
wawili ambao wamejeruhiwa huku yeye akisalimika katika ajali hiyo.
Gabo amekanusha taarifa ambazo zimezagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki katika ajali hiyo.
“Uongo unaoishi ndiyo ukweli mpaka ukanushwe, nami naanzia hapa kwenye
kukanusha, ni kweli nimepata ajali lakini sijafa na maumivu ni ya ndani
sana,” aliandika Gabo katika istagram yake. “Na sijavunjika kama watu
wanavyosema ila naumia na jinsi watu wanavyo waombea wenzio Mabaya,”
Aliongeza, “Nilikuwa na lengo zuri la kugawana umasikini na wanyonge
wenzangu na hata Mungu akanisimamia. Eee Mollah wasamehe kwani na mimi
nimewasamehe, naamini utaniongoza na kunisimamia leo, kesho na hata
milele,”
Related Posts:
Wema Aikataa Rasmi CCM Ajiunga Chadema..!!!..Fahamu zaidi hapa.
Hatimaye mwana dada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine
kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni
(CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi
Hapo mwanzoni zilianza kama tetesi l… Read More
Mbasha, Miss TZ Mapenzi Mubashara...!!!!!.Fahamu zaidi hapa.
Baada ya kuficha uhusiano wao, Mwimbaji wa Gospo Bongo, Emmanuel Mbasha
na Mshiriki wa Miss Tanzania 2008, Jacqueline Chuwa, sasa siyo siri tena
kwani Wikienda lina picha zao mubashara wakiwa kwenye mahaba niue. Mtu
ali… Read More
HATIMAYE MTANGAZAJI WA CLOUDS FM ZAMARADI AMTAJA BOSS WAKE RUGE KUWA NDO KAZAA NAYE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
ZAMARADI MKETEMA
RUGE MUTAHABA
AKIONGEA KUPITIA KIPINDI CHA TAKE ONE KUPITIA CLOUDS TV,ALIULIZWA
SWALI NA EPHRAHIM KIBONDE AKISHIRIKIANA NA GADNER G HABASH KUHUSU NANI
NI BABA WA WATOTO,NDIPO ALIPOMTAJA RUGE MTAHABA… Read More
Jokate akutana na Mastaa Jay Z na Beyonce nchini Marekani.Fahamu zaidi hapa.
Asubuhi
ya leo, mrembo Jokate Mwegelo kutoka nchini Tanzania amepokea pongezi
kutoka kwa watu mbalimbali baada ya kuchapisha picha kwenye kurasa zake
za Insagram na Twitter akiwa pamoja na wanamuziki maarufu duniani.
… Read More
Wolper Afunguka Kulewa Pati ya Mtoto wa Diamond..Nillan.Fahamu zaidi hapa.
BAADA ya kuwa ‘topic’ kwenye sherehe ya 40 ya mtoto wa Nasibu Abdul
‘Diamond’, Nillan iliyofanyika hivi karibuni, Muigizaji Jacqueline
Wolper ameibuka na kusema katika maisha yake yote hajawahi kulewa.
Lich… Read More
0 comments:
Post a Comment